Alhamisi, Mei 09, 2013

UJUMBE MZURI KWA UMPENDAYE









UKINIULIZA SWALI, KWANINI NAKUPENDA? NITAKUJIBU SIJUI KWANINI NAKUPENDA. LAKINI NAJUA NAKUPENDA NA WEWE NI FURAHA YA MAISHA YANGU.

***************************************************
NAFURAHI KUWA NA WEWE KATIKA MAISHA YANGU. WAKATI MWINGINE NAJIULIZA KWANINI HATUKUJUANA MAPEMA? ASANTE MPENZI KWA UPENDO WAKO WA KWELI UNAONIPA FURAHA TELE MAISHANI MWANGU.
****************************************************
SINTOCHOKA KUKUPENDA, NAMUOMBA MUNGU PENZI LETU LIWE NI LA MILELE. TUEPUKANE NA VISHAWISHI.NAKUPENDA SANA TAMU YA MOYO WANGU.

Maoni 2 :

emuthree alisema ...

Mhh, maneno mazuri hayo ya wapendanao, je weye unamwambia umpendae hivyo?

Bila jina alisema ...

....waw!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom