Jumanne, Mei 07, 2013

UJUMBE WANGU WA LEO " NI RAHISI KUMUAMINI MTU NA KUWA MARAFIKI KWA KUMUANGALIA LAKINI NI VIGUMU KUFAHAMU NINI ANAKIWAZA JUU YAKO.

Kama ingelikuwa ukimwangalia mtu unafahamu kile anachokiwaza moyoni mwake juu yako. basi ingekuwa rahisi kumtambua rafiki wa kweli. Kwani ungechukua tahadhari mapema ,,,lakini haiwezekani hata siku moja kufahamu nini mwenzio anafikiria juu yako kwani anaweza kucheka na wewe lakini moyoni anakuchukia sana. NI VYEMA KUWA MAKINI SIYO KILA ANAYEKUTAMKIA ANAKUPENDA ANAMAANISHA.

Hakuna maoni:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom