Jumapili, Mei 05, 2013

UJUMBE WANGU WA LEO NI "UNAWEZA KUWA UNAMPENDA SANA LAKINI UKAWA HAUNA IMANI NAYE"

Katika maisha yawezekana ukawa unampenda sana iwe ni rafiki, mume, mke ama mpenzi unampenda sana na siku zote ukawa ,akiwa katika safari zake kwenye mihangaiko na huku ukimuamini kwamba hawezi kukusaliti kwa namna moja au nyingine na wala usionyeshe wivu juu yake lakini moyoni mwako hauna imani naye. Ni hali ambayo ipo katika maisha yetu kwani binadamu siku hizi wamekuwa vigeugeu, ni vigumu kumuamini mtu kwa asilimia mia moja hata kama ni ndugu yako.

Maoni 1 :

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom