Ijumaa, Agosti 30, 2013

UJUMBE WA LEO "SIYO KILA JAMBO BAYA UNALOFANYIWA NI LA KULIFUMBIA MACHO NA KUKAA KIMYA, WAKATI MWINGINE HAINA BUDI UTETEE HAKI YAKO

Kuna wakati unaweza kuwa mvumilivu sana katika mambo mbalimbali unayofanyiwa iwe ni katika kazi yako, na marafiki,au katika mapenzi nk. Lakini kuna mambo mengine unaona kabisa hapa sijatendewa haki na wewe ukanyamaza kimya basi ujue unajinyima haki yako ya msingi. Si kwamba ufanye ugomvi ama vita bali kuwa makini nachukua njia sahihi kujitetea ikiwemo sheria.

Hakuna maoni:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom