Jumapili, Septemba 29, 2013

MANENO MAZURI KWA UMPENDAYE.


******************************************
Kamwe sintosikiliza maneno ya watu wenye nia ya kutuona tukigombana, fahamu kuwa nakuamini na nakupenda zaidi kila siku zinavyozidi kwenda, wewe ni furaha ya maisha yangu.
****************************************
Unapokuwa mbali nakuwa mpweke sana, ucheshi wako unanifanya nitamani kuwa karibu yako milele, tulitunze penzi letu milele daima.

Hakuna maoni:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom