Jumapili, Septemba 22, 2013

NENO LA LEO "UNAPOAMUA KUPAMBANA KATIKA JAMBO LA MAENDELEO BASI USIZIOGOPE CHANGAMOTO, KUMBUKA PENYE NIA PANA NJIA"

Ili ufanikiwe ni lazima utakutana na changamoto nyingi sana, na ili ufikie malengo lazima ukabiliane na changamoto hizo. Pia kumbuka siyo kila anayekuzungukua atafurahia kile unachokifanya  na pia siyo kila atakayekusifia anafurahia unachokifanya. Jambo la msingi ni kujitambua, kujikubali, kujiamini alimradi unao uhakika na kile unachokifanya. ANAYETAFUTA SIKU ZOTE HAOGOPI BALI ANAANGALIA FURSA NA KUSONGA MBELE.

Hakuna maoni:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom