Jumanne, Septemba 24, 2013

UJUMBE WA LEO "SIYO KILAJAMBO UNAWEZA KUVUMILIA"

Katika maisha ni vyema kuwa mvumilivu lakini siyo kila jambo unaweza kuvumilia wakati mwingine unaamua kuacha na kuanzisha safari nyingine katika jambo fulani. LAKINI KUMBUKA MVUMILIVU HULA MBIVU. ILA  UVUMILIVU UKIZIDI SANA UNAWEZA KUJIKUTA UNAUMIA MWENYEWE.

Hakuna maoni:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom