Jumatano, Oktoba 23, 2013

MIAKA 10 YA NDOA VAN VICKER

Mchezaji filamu wa Ghana Van Vicker ametimiza miaka 10 ya ndoa na mkewe Adjoa. Wawili hawa walifunga ndoa oktoba 16, 2013. 

Van Vicker na mke na watoto wao.Vicker pia ni mtangazaji wa Radio.


enzi hizo akiwa na mke wake kabla ya kufunga ndoa

ujumbe wake ni kwamba "Penzi nililonalo kwa mke wangu Adjoa halitokufa na badala yake linazidi kuwa imara kila siku" 

Maoni 1 :

Bila jina alisema ...

Watanunaje???

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom