Jumatano, Juni 11, 2014

FILAMU HII SI YA KUKOSA ZENA NA BETINA

ZENA NA BETINA kuingia sokoni huku ikisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa filamu za kitanzania. Filamu hiyo itaingia sokoni tarehe 12 / June/2014. Mastaa ndani ya movie hiyo ni Nisha, Manaiki Sanga, Jennifer wa Kanumba, Senga, Farida Sabu na wengineo. usikose kununua nakala yako halisi.

Hakuna maoni:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom