Jumatano, Novemba 05, 2014

NUKUU YA LEO "KUKAA BILA KAZI KUNA SABABISHA MTU KUWA NA MAWAZO MENGINE YA AJABU"


"Kukaa bila kufanya kazi kunasababisha mtu kuwa na mawazo mengine ya ajabu, hali hiyo inaweza kumfanya mtu kuwa na mtazamo wa kupenda rushwa jambo ambalo ni ukosefu wa nidhamu na hatimaye huleta migogoro" NA. Samora Moses Machel, Rais wa kwanza wa Msumbiji

Hakuna maoni:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom