unaweza kuwa na hasira,,mawazo,,ama furaha na macho yako yakaonyesha ishara bila kificho lakini pia katika suala zima la mapenzi hisia huonekana machoni
yapende macho yako wakati wote na pia tumia macho yako kufahamu hisia za mapenzi ya mwenza wako
namimi ni mmojawao aliyeumizwa{vutiwa na machoyako}kweli mungu kaumba viumbe wake atakavyo pia nawapongeza wazazi wako waliokuzaa na kukulea vizuri ubarikiwe sana kweli umzuri sana tena sana
Ahsante kwa ujumbe...
JibuFutaHabari za siku.
JibuFutaKama mwanablogu kutoka Tanzania,nakuomba kushiriki kuchangia Mchakato wa KUFUFUA JUMUWATA(Jumuiya ya Wanablogu Tanzania).
Tafadhali naomba ufungue hii kurasa ya
http://blogutanzania.blogspot.com/
kisha upendekeze jinsi ya kufufua JUMUWATA.
Ahsante
Luiham Ringo.
Adela unajua umetoa siri yako hapo kiduchu!
JibuFutaVaa miwani ya jua basi siku nyingine ukitaka MTU asistukie unamfikiriaje!:-)
Aisee...!!!!
JibuFutaanti una macho mazuri sana hongera kwa hilo
JibuFutai luv u sana tuuuuuuuuuuuuuu
shost we mrembo sana
JibuFutaMimi nakupenda sana wewe na macho yako yameniumiza sana na hapa nilipo nasaka mahali ulipo ili nije kuongea nawe
JibuFutaasanteni sana wadau pamoja sana
JibuFutanamimi ni mmojawao aliyeumizwa{vutiwa na machoyako}kweli mungu kaumba viumbe wake atakavyo pia nawapongeza wazazi wako waliokuzaa na kukulea vizuri ubarikiwe sana kweli umzuri sana tena sana
JibuFuta