Hakika Adel kweli hilo ni pozi la kiafrika kwelikweli maana umetoka chichaaaa. Ahsante kwa ujumbe mwana kwetu..uwe salama nawe pia:-)
Nashukuru na wewe pia
jamani Adela wewe ni mzuri sana mimi naitwa Leah John unazidi kupendeza shost tulikuwa wote Arusha hongera mwaya
weekend njema mama Africa
asanteni sana friends ni matumaini yangu weekend ilikuwa poa
Wewe dada unanipa wakati mgumu sana kila nikiingia blogini mwako maana una sura nzuri halafu macho yako yananitongoza sana.Ningekuwa bongo hakika ningefika machoni pako niongee hata mawili matatu maana du!!Hongera sana kwa kuumbwa mrembo.Hata nashindwa kujua kama umeolewa au una mtu au hapana?Nitakuandikia maana hapa ni pa kuku wengi hutanijibu.
jamani ADELA mbona wewe ni mzuri sana. kwanza unakaa wapi?
Unakaribishwa kutoa maoni yako.
Hakika Adel kweli hilo ni pozi la kiafrika kwelikweli maana umetoka chichaaaa. Ahsante kwa ujumbe mwana kwetu..uwe salama nawe pia:-)
JibuFutaNashukuru na wewe pia
JibuFutajamani Adela wewe ni mzuri sana mimi naitwa Leah John unazidi kupendeza shost tulikuwa wote Arusha hongera mwaya
JibuFutaweekend njema mama Africa
JibuFutaasanteni sana friends ni matumaini yangu weekend ilikuwa poa
JibuFutaWewe dada unanipa wakati mgumu sana kila nikiingia blogini mwako maana una sura nzuri halafu macho yako yananitongoza sana.
JibuFutaNingekuwa bongo hakika ningefika machoni pako niongee hata mawili matatu maana du!!
Hongera sana kwa kuumbwa mrembo.Hata nashindwa kujua kama umeolewa au una mtu au hapana?Nitakuandikia maana hapa ni pa kuku wengi hutanijibu.
jamani ADELA mbona wewe ni mzuri sana. kwanza unakaa wapi?
JibuFuta