Pages

Jumatano, Mei 23, 2012

Baadhi Wanawake wanaongoza kulia shida kama kuomba pesa mara kwa mara

Ni kweli hii tabia ipo kwa baadhi ya wanawake katika mahusiano yaani yeye muda wote anachokiwaza ni hela kila anapokutana na  mwenza wake anawaza atamuachia pesa kiasi gani akimpigia simu anaomba hela,, je inamaana hii ni tabia au  ukiwa na mpenzi ni lazima kila tatizo ulilonalo akusaidie???? ndiyo maana kauli hii ya MAPENZI YA SIKU HIZI NI HELA inatawala sana

Maoni 2 :

  1. ni kweli Adela hii tabia imeshamiri sana, tunawafanya km ni sehemu ya kumalizia shida zetu, inaboa kwa kweli na inamfanya mpenzi akuchoke haraka coz kila ukimwona ww ni kulia shida tu halafu c ajabu bi dada nae anafanya kazi sasa cjui bi dada hela yako inakwenda wapi,pia ckatai kuomba msaada ila icwe too much jaman. TUJIREKEBISHE WADADA

    JibuFuta
  2. DAVID JERMOS23 Mei 2012, 20:08

    hapo cna hoja ADELA maana hapo umegonga penyewe!! japo kuwa namshukuru sana my baby hajawai kuniomba hela,cjui kama utaaminiana na mimi kuhusu hilo.sio kama huwa simpatii huwa ninampa nikijisikia mtanisamehe kwa hili ninalotaka kusema.ADELA female ni kama mtoto mdogo jinsi utakavyo kuwa unamzoesha ndivyo atakavyo kuwa!!!

    JibuFuta

Unakaribishwa kutoa maoni yako.