Ujumbe wa kimapenzi hauangalii mwanamke au mwanamume yeyote anaweza kuandika kwa mwenza wake ijapokuwa mara nyingi unakuta wanawake ndiyo tunaangaika zaidi katika hili na wakati mwingine mtu unaweza ukawa umejipinda umeandika ujumbe mzuri wa kimapenzi kwa mwenza wako lakini yeye akakujibu kwa kifupi sana mfano ok,yes me too,,take care nk. kitu ambacho kiukweli inaumiza kwa upande mwingine sasa sijui ni kuwa bize au ni mapozi,,ila ni muhimu kuwa mbunifu ili kuimarisha penzi lenu milele. |
Maoni 4 :
Daah! hapa kweli umesema jambo, yaani hii tabia ibakera saana, halafu inaleta maswali mengi tu baina yenu, coz kama mwenzio kakuandikia message nzuri, haifai kumjibu kimkato mkato as u said, pia kunatatizo la kuchelewa kujibu message, utakuta mtu unamtumia message, halafu anakaa muuuuuda mrefu kujibu, ukimuuliza utasikia aaaaaahhh nilikuwa nime concentrated sana kwenye movie ndiomaaa, mmmmh inamaana movie na msg yangu basi jamani daaah! si freshi kabisa vijitabia kama hivi....
Mmmh!
Mh my dia, eti mwanaume anauliza oohh mbona cku hizi hutumi msg nzurinzuri, mm nikampa adhabu, nomba na ww unitumie msg nzuri, till yet hajatuma k2. sasa mm nashangaa sana hawa wa2 wanaopenda kufanyiwa v2, yani ina cc wadada ndo tunajua sana kupenda ama hawa wanaume ni ubabe tu. sielewi.
Gg
Mhh, nakumbuka nilituma kitu hapa, ok well labda mtandao haukunasa. Ujumbe ni makini, na upo wazi!
Chapisha Maoni