Pages

Jumamosi, Desemba 04, 2010

Warda Chande mtoto wa pwani,,mtangazaji wa kipindi cha Taarabu passion fm,,asema kuna watu wana makusudi mtuanafanya jambo ambalo anajua litakukera lakini anafanya hivyo ili aone wewe utasema nini..

Warda Chande katika pozi niliyapenda maneno hayo,, kwani ni kweli binadamu wengine wanatabia ya kumjaribu mtu waone atasema nini ili kuanzisha ugomvi,, lakini muhimu kama unakutana na mtu wa hivyo ni bora kunyamaza kimya ili kuepusha shari kwani ukishindana na mjinga siku zote na wewe utaonekana mjinga,, Mfano unamgundua mtu anakuzungumzia vibaya kwa watu ili kukuharibia katika kazi yako na maneno hayo unakuta ni ya uongo,,katika hili binadamu tunatofautiana kuna atakayenyamaza kimya na kuyaacha kama yalivyo,,kuna atakaye pigana,,kuna atakayenuna nk,,,ila kwako wewe mdau unasemaje,, nini cha kufanya inapotokea hivi,,,,,

Maoni 1 :

  1. Ni kuacha na kuendelea na mambo ya busara kuliko kupoteza muda na kitu/mtu ambaco si cha kweli.

    JibuFuta

Unakaribishwa kutoa maoni yako.