Pages

Jumatano, Mei 16, 2012

Katika hili unajikuta katika wakati mgumu sana

Picha hii nimeikuta Facebook ukweli mambo hayo yakikukuta inahitaji moyo hapo ndipo wengine wanakata tamaa ya maisha lakini ni vyema kupiga moyo konde na kufanya kazi kwa bidii

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Unakaribishwa kutoa maoni yako.