Ili uweze kukabiliana na hali hiyo pendelea kula zaidi matunda, mboga za majani, mbegu za matunda na samaki.kwani unaambiwa mafuta halisi ya samaki yana madini ya acid ambayo ni muhimu katika ujenzi wa mwili na pia yanasaidia sana kumfanya mtu kuwa makini na msikivu kwenye mambo mbalimbali baadhi ya mbegu za matunda zina madini ya carbohydrates, ambayo huongeza nguvu mwilini na kuongeza uwezo wa akili. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni