Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo ALBUM YETU. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo ALBUM YETU. Onyesha machapisho yote

Alhamisi, Novemba 07, 2013

ALBUM YETU LEO WILLOW SMITH KATIKA POZI TOFAUTI

CUTE
GOOD ONE
MAMA NA MWANA
BABA NA MWANA
KAKA NA DADA
MAMA NA MWANA WAKIWA KITAA

Jumatano, Oktoba 30, 2013

ALBUM YETU LEO MICHELLE, SASHA AND MALIA OBAMA FASHION

NICE ONE
CUTE
LIKE MOTHER LIKE DAUGHTERS 
GOOD GOOD
LOVELY


HAPPY FAMILY

Alhamisi, Septemba 19, 2013

PICHA MBALIMBALI ZA WAMILIKI WA MITANDAO YA KIJAMII BAADA YA KUMALIZIKA KWA WARSHA YA SIKU MBILI ILIYOANDALIWA NA MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA)

ADELA KAVISHE NIKIWA MAKINI


MMMH FURAHA SANA

JESTINA GEORGE AND I
BLOGGERS
FEMALE BLOGGERS

Mhadhili wa maswala ya Habari kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam, Ndg Doto Kuhenga akiwasilisha mada yake kuhusu mwenendo wa utaalamu  unaopaswa kufuatwa  na waendeshaji wa mitandao ya kijamii pindi wafikishapo habari kwa jamii

Mkurugenzi wa  Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Prof.John Nkoma akizungumza jambo wakati wa kufunga warsha ya siku mbili kwa waendeshaji wa mitandao ya kijamii (Bloggers)  iliyofasnyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) maeneo ya Sinza B jijini Dar es salaam .

Washiriki wote walipewa vyeti baada ya kumalizika kwa warsha hiyo.






Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) iNOcent Mungy akielezea jambo wakati wa warsha hiyo.

Mkurugenzi wa Kampuni ya Tech Wark, Liz akitoa mada yake katika warsha hiyo.
Shukrani sana kwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania kwa kufahamu umuhimu wa mitandao ya kijamii. Bloggers tuliokuwepo katika warsha hiyo ni wachache naweza kusema tumewakilisha wale wote ambao hamkuwepo.Ila wote kwa pamoja naimani tutafanya kazi nzuri na kwa ushirikiano.


Jumatatu, Septemba 09, 2013

Jumapili, Agosti 11, 2013

UMUHIMU WA PICHA ZA UKUMBUSHO.

Kuwa na picha ya pamoja kwa familia  ni ukumbusho mzuri sana.

Baadhi ya familia uhakikisaha kila mwaka wanapiga picha ya pamoja.

usisubiri wakati wa sherehe ama dsikukuu ndiyo upige picha.

PICHA NI UKUMBUSHO MZURI KATIKA MAISHA YETU.

ALBUM YETU YA LEO MWANAMUZIKI RAY C KATIKA POZI TOFAUTI 2013

CUTE ONE

LOVELY

CUTE EYES

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom