Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo JE WEWE UNASEMAJE. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo JE WEWE UNASEMAJE. Onyesha machapisho yote
Jumatano, Juni 12, 2013
Jumatatu, Aprili 29, 2013
"HATAKI NIIJUE PASSWORD YAKE ANAYOTUMIA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII KAMA FACEBOOK NA TWITTER NAHISI ANANISALITI"
Jumanne, Desemba 11, 2012
WIVU WA MAPENZI KIKWAZO CHA MAENDELEO
Wiki iliyopita huko mkoani Tanga kulikuwa na mjadala wa mdahalo wa usawa wa kijinsia ulioandaliwa na Muungano wa Asasi za Kiraia Wilaya ya Lushoto , katika mdahalo huo Wivu umeelezwa kuwa kikwazo cha maendeleo ndani ya jamii kutokana na wanaume kuwazuia wake zao kuwajibika katika shughuli mbalimbali za uzalishaji mali wakihofu kusalitiwa jambo lililodaiwa kuongeza umasikini katika familia .
. Inawezekana kuna sababu za kimila na kadhalika ambazo zinamfanya mwanaume asimpe nafasi mke wake katika kushiriki kwenye shughuli mbalimbali kwaajili ya kujipatia kipato lakini hili suala la wivu mnalionaje jamani kwamba mwanaume anahisi mwanamke akiwa kazini atakuwa na wanaume wengine mimi sidhani kama ni jambo la busara kwani mtu kama anaamua kuanzisha mahusiano hata kama akiwa hana kazi anaweza kufanya usaliti JE WEWE UNASEMAJE
Jumatano, Oktoba 17, 2012
Je ni sahihi mwanamke kumsachi mwenza wake ili kujua kiasi cha pesa aliyonayo.
Jumatano, Julai 11, 2012
duuuh
Jumanne, Juni 12, 2012
Alama za FREEMASON ZAENDELEA KUTAPAKAA
Alhamisi, Juni 07, 2012
Je hili nalo lina ukweli wewe unasemaje,,,ameandika Joel Ngerema kutoka facebook
Jumanne, Juni 05, 2012
Nguo hizi zinachochea vishawishi
Jumatano, Mei 23, 2012
Swali kutoka kwa Dayna facebook,,Je wewe unasemaje
Baadhi Wanawake wanaongoza kulia shida kama kuomba pesa mara kwa mara
Jumatano, Mei 16, 2012
Katika hili unajikuta katika wakati mgumu sana
Jumapili, Mei 06, 2012
Nimeyapenda sana haya maneno
Ujumbe wangu Leo UPENDO NA FURAHA KATIKA FAMILIA YAKO UNAJENGWA NA WEWE MWENYEWE.
![]() |
KUJENGA familia bora na yenye furaha kunahitaji uwajibikaji na kujituma kwa kiwango cha juu. Kwa ujumla, mtu anatakiwa atoe kipaumbele kwa familia. |
Jumanne, Mei 01, 2012
JE NA HILI LINA UKWELI
Nimesoma haya maneno kwa umakini kwamba kwa asilimia kubwa wanawake wazuri yaani warembo wa maumbile,sura y amekamilika kila idara siku zote ni waongo katika mapenzi na kauli hii hupenda kuizungumza baadhi ya wanaume kwamba wanawake wazuri ukiwa naye nikujipa presha Binafsi nasema inategemea na tabia ya mtu kuna walio wazuri na wametulia. JE WEWE UNASEMAJE |
"Je ni kweli tabia za wanaume wote zinafanana????
Jumamosi, Aprili 28, 2012
JAMANI NIMEGUSWA SANA NA MATATIZO YA SAJUKI NA WASTARA TUMSAIDIE SAJUKI,, KUTOA NI MOYO
Bado unaweza kuchangia kwa Mpesa 0762189592 na kupitia Akiba commercial bank acount no 050000003047 Wastara Juma. |
kwa maelekezo zaidi nasisitiza KUTOA NI MOYO JAMANI
Ijumaa, Aprili 20, 2012
Unaweza kuitambua hali ya maisha ya mtu kwa kumtizama
Jumatano, Aprili 18, 2012
Inawezekana kutokea haya unapodai chako,,,,,,,,,
Alhamisi, Aprili 05, 2012
Hivi Shetani anaweza kumsababisha Baba kumbaka bintiye??
Tukio hilo limetokea Huko wilayani Maswa, Mkazi wa kijiji cha Bukangilija Tarafa ya Sengerema, Nkwambi Maganiko (38) amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kufanya mapenzi na binti yake mwenye umri wa miaka 15
Hukumu hiyo imetolewa na hakimu mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Maswa Thomson Mtani baada ya ushahidi uliotolewa na mashaidi wanne wa upande wa mashtaka kuthibitisha bila kuacha shaka kuwa alimbaka mwanawe huyo.Kabla ya kutoa hukumu alisema kitendo alichokifanya mshtakiwa huyo licha ya kuwa ni kinyume na utamaduni wa taifa la Tanzania, pia hakikubaliki hata kidogo katika jamii na kinyume kabisa cha sheria ya makosa ya kujamiana.
Awali mwendesha mashtaka Inspekta Msaidizi wa Polisi Nurdin Ramadhani alidai kuwa Februari 2 mwaka huu majira ya saa 7:00 usiku nyumbani kwake, mshtakiwa huyo alimuamusha kutoka usingizini mke wake na kumwambia kuwa wamekuwa wachawi na hivyo watoe nguo zao zote na watoke nje.
Alidai baadaye mshtakiwa huyo aligonga mlango wa chumba cha watoto wake watatu ambao ni wasichana na kuwaamuru watoke nje wakiwa uchi na kuelekea katika mto uliokuwa karibu na nyumba yao, wakiwa njiani alimvamia mtoto wake wake huyo mbele ya watoto wake wengine na kumbaka, kitendo ambacho kilisababisha apige yowe kuomba msaada.
Kwa upande wake mshatakiwa huyo, aliiomba mahakama hiyo imwachie huru kwa madai kuwa hakufanya kitendo hicho, lakini ombi hilo lilitupiliwa mbali na kuhukumiwa kifungo hicho jela.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)