Jumanne, Januari 31, 2012

Samaki ni mboga tamu sana na ni nzuri zaidi kwa afya.

Samaki ni mboga nzuri sana wataalamu wanakuambia pendelea kula samaki wa kuchoma au wa kuchemsha ili kupata supu yake  kwani samaki ana kinga mwilini kuliko nyama nyekundu,, pendelea kula samaki au virutubisho vyenye mafuta ya samaki aina ya Omega-3 kila siku ambavyo huimarisha afya ya moyo.

Hakuna maoni:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom