Jumamosi, Agosti 24, 2013

UJUMBE WA LEO, UKIWAOGOPA WALE WANAOKUCHUKIA KATIKA KAZI YAKO BASI NI VIGUMU KWAKO KUFIKIA MALENGO YAKO"

 Katika maisha ni vyema kuwa makini sana na wasiopenda maendeleo yako kwani wakati mwingine mtu anakuchukia tu bila sababu, hivyo ukikata tamaa na kurudi nyumba anafurahi sana, lakini ukiwa na msimamo na kusonga mbele basi atabaki akikuwaza tu wakati huo mambo yako yanaendelea kuwa mazuri


Hakuna maoni:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom