Jumanne, Februari 18, 2014

UJUMBE WA LEO KUTOKA FACEBOOK AMEANDIKA MWAMVITA MAKAMBA

Njia sahihi ya mafanikio ni kulala na ndoto na kuamka ukiwa na lengo la kuitimiza. Ndoto nzuri za kufanikiwa kwenye maisha zisiishie kuwa ndoto. Amka na lengo la kutimiza.

Hakuna maoni:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom