Jumatatu, Machi 31, 2014

MANENO MAZURI KWA WAPENDANAO


"Nakupenda sana mpenzi wangu,wewe ni zaidi ya mpenzi kwangu nafurahia mapenzi motomoto kutoka kwako, tupendane, tufurahi, na tushikamane milele. 

*************************************************
"Siwezi kuchoka kusema nakupenda, moyo wangu unafuraha sana, kutokana na penzi tamu zaidi ya sukari ninalopata kutoka kwako, maisha yangu na wewe ni kama nipo peponi wewe ni barafu wa moyo wangu nakupenda sana.
****************************************************
"Tabasamu lako linanipagawisha mpenzi, napenda unavyocheka, unavyotembea, unavyoongea yaani napenda kila kitu juu yako, wewe ni maisha yangu na mimi ni maisha yako tupendane milele"

Hakuna maoni:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom