Ijumaa, Juni 20, 2014

MANENO MAZURI KWA WAPENDANAO

"Maisha yangu bila wewe siwezi kabisa mpenzi, wewe ni furaha yangu, kamwe sintosikiliza maneno ya watu nimekupenda kama ulivyo, nitakuheshimu na kukujali siku zote za maisha yangu"
*********************************************************************************
"Yaliyopita si ndwele tugange yajayo mpenzi, katika mapenzi kuna kukoseana, nakupenda kwasababu unanipenda, ulipokosea nimekusamehe na mimi nilipokosea naomba unisamehe, siwezi kuishi bila wewe barafu ya moyo wangu"
*********************************************************************************
"Nimekupenda jana nitakupenda leo kesho na kesho kutwa, yaani nitakupenda milele daima wewe ni wangu mimi ni wako, nakupenda sana chaguo la moyo wangu."

Hakuna maoni:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom