Jumanne, Desemba 28, 2010

My sweety colour 2010 lady in blue inapendeza sana....





Kuwa mbunifu kuchagua nguo na rangi nzuri kuendana na wakati

Maoni 6 :

EDNA alisema ...

wacha weee umependeza mdada na rangi ni nzuri sana.

Bila jina alisema ...

Yetu macho tu umependeze vibaya bin kichizi mdada weee mwaaahhh..!!

Yasinta Ngonyani alisema ...

Adela ni kweli hiyo rangi imekupendeza haswaaa. Ila mwenzio sina hata nguo moja ya rangi hiyo umenitamanisha ngoja nitafute labda itanikaa...LOL

Simon Kitururu alisema ...

Adela nimegundua kwenye picha zako mara nyingi hatukuoni shavu la kushoto!:-(

Umependeza mdada!

Ukiniuliza mimi nitadai wewe bomba la mzuri!:-(

ADELA KAVISHE alisema ...

asanteni sana my friends tukopamoja wakati wote

Bila jina alisema ...

U look so mwaaaaaamwaamwaaaaaaaa when u put on blue, u me pe nde za

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom