wacha weee umependeza mdada na rangi ni nzuri sana.
Yetu macho tu umependeze vibaya bin kichizi mdada weee mwaaahhh..!!
Adela ni kweli hiyo rangi imekupendeza haswaaa. Ila mwenzio sina hata nguo moja ya rangi hiyo umenitamanisha ngoja nitafute labda itanikaa...LOL
Adela nimegundua kwenye picha zako mara nyingi hatukuoni shavu la kushoto!:-(Umependeza mdada!Ukiniuliza mimi nitadai wewe bomba la mzuri!:-(
asanteni sana my friends tukopamoja wakati wote
U look so mwaaaaaamwaamwaaaaaaaa when u put on blue, u me pe nde za
Chapisha Maoni
Maoni 6 :
wacha weee umependeza mdada na rangi ni nzuri sana.
Yetu macho tu umependeze vibaya bin kichizi mdada weee mwaaahhh..!!
Adela ni kweli hiyo rangi imekupendeza haswaaa. Ila mwenzio sina hata nguo moja ya rangi hiyo umenitamanisha ngoja nitafute labda itanikaa...LOL
Adela nimegundua kwenye picha zako mara nyingi hatukuoni shavu la kushoto!:-(
Umependeza mdada!
Ukiniuliza mimi nitadai wewe bomba la mzuri!:-(
asanteni sana my friends tukopamoja wakati wote
U look so mwaaaaaamwaamwaaaaaaaa when u put on blue, u me pe nde za
Chapisha Maoni