Ijumaa, Mei 27, 2011

kuwa mtoto ni furaha sana ndiyo maana baadhi ya watu hutamani kurudi utotoni,

Pichani ni binamu yangu kipenzi anaitwa Careen anasoma darasa la nne  ni mtoto anayependa kufurahi wakati wote na ana malengo yakuwa mwanasheria hapo baadaye


Careen katika pozi mwenyewe anakuambia anapenda pia kuwa mwanamitindo lakini muhimu kusoma kwanza mambo mengine baadaye

She is always smile

binamu zangu nawapenda sana Careen pamoja na Neema ,,kila la heri katika kutimiza malengo yako Careen

Maoni 4 :

Teuvo Vehkalahti alisema ...
Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.
Unknown alisema ...

Niliwahi soma chapisho laaa.... akieleza kuwa MAMBO YA KUKUSAIDIA UNAPOWEKA MALENGO YA MWAKA 2011.

Akataja Mambo 5 ya kufanya.

1. Weka malengo yako mapema, kwa kuzingatia vipaumbele vyako.

2. Weka mikakati ya kutekeleza malengo yako

3. Fanya tathmini ya utekelezaji wako wa malengo

4. Boresha malengo kadri muda unavyokwenda, kwa kuzingatia tathmini unayoifanya.

5. Jenga mazoea ya kuyasoma na kutafakari malengo yako mara kwa mara.

MPANGO WOWOTE USIPOMHUSISHA MUNGU NOTHHING CAN HAPEN.

Unaweza pitia: http://sanga.wordpress.com/2010/12/24/mambo-ya-kukusaidia-unapoweka-malengo-ya-mwaka-2011/

Bila jina alisema ...

mtoto mzuri usome kwa bidii

Bila jina alisema ...

mtoto mzuri usome kwa bidii

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom