Jumatano, Januari 18, 2012

Umakini unamsaidia mtu kufanikiwa katika jambo fulani ukikurupuka bila kutafakari ni rahisi kuboronga.

Katika maisha kila kitu tunachokifanya kinahitaji ufanisi na tafakari  na ili uweze kufanya kwa ufasaha lazima utakuwa makini. KAMA KWELI UNAIPENDA KAZI YAKO AMA UNAPENDA KUFANIKISHA JAMBO FULANI KATIKA MAISHA YAKO LAZIMA UTAKUWA MAKINI NA KILE UNACHOKIFANYA.

Maoni 4 :

Bila jina alisema ...

Adela asante sana kwa ujumbe huuni kweli kabisa unalolisema katika kila kitu ni lazima kuwa makini

Bila jina alisema ...

Ni lazima kuzingatia hayo katika maisha yetu ya kila siku

Bila jina alisema ...

Out of topic Adela! Naomba unijuze jinsi ya kutengeneza samaki wa kugrill, the marinations.....Vitu gani vinahitajika ili awe test. I need to start fish diet only na Matunda. Thanks

ADELA KAVISHE alisema ...

poa mwaya usijali nitafanya hivyo baada ya kupata maelekezo kamili katika kitabu changu cha mapishi tuko pamoja mdau

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom