Alhamisi, Februari 23, 2012

Ubunifu katika mapenzi huongeza ladha

Ukweli ni kwamba kitu chochote tunachokifanya katika maisha yetu kinahitaji ubunifu ili kukiboresha kuwa kizuri zaidi vivyo hivyo katika mapenzi mwanamke na mwanamume wanahitajika kuwa wabunifu katika mambo mbalimbali mfano kwa mwanamke ambapo kwa asilimia nyingi inasemekana mwanamke akiolewa na kupata mtoto wengi wao wanajisahau katika mapenzi  kama kupika, usafi wa nyumba na mwili, matumizi mabaya ya pesa,  mahaba motomoto na vitu vingine vingi vinavyoendana na hivyo JAMBO LA MSINGI TUKUMBUKE KUWA WABUNIFU naichukia sana kauli ya kusema "Mwanamume ama mwanamke hata umfanyie nini haridhiki" hii ni kauli potofu na ni kujikatisha tamaa na mwisho wa siku kujibweteka na kumpoteza mwenza wako MAPENZI MATAMU YANAHITAJI UBUNIFU

Hakuna maoni:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom