Ijumaa, Januari 11, 2013

UJUMBE WANGU WA LEO TABASAMU HUONGEZA MVUTO NA MATUMAINI

Binafsi huwa napenda kufurahi wakati wote,, ila mtu akinikwaza najikuta sina furaha ila nitatafuta namna ya kuiondoa hiyo hali ili isiwe kero kwa wengine,Ni kweli waswahili wanakuambia "cheka huongeze siku za kuishi" kununa nuna hakuna maana,, lakini kutokana na mzingira na maisha tunayoishi hali ya kukasirika ni kitu cha kawaida kwani leo unaweza kufurahi kesho ikawa tofauti lakini ni vyema kutafuta njia ya kufurahi na kujipa matumaini kwa magumu unayopitia KUWA MWENYE FURAHA TAFUTA TABASAMU

Hakuna maoni:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom