Jumatano, Agosti 20, 2014

MANENO MAZURI KWA WAPENDANAO

"Moyo wangu unafurahi sana kuwa nawe karibu nakupenda sana asali wa moyo wangu, unapokuwa mbali nakosa furaha, Maisha yangu bila wewe najiona sijakamilika tafadhali usiende mbali nami mpenzi"
********************************************************
"Unapokuwa mbali nami, huwa nahisi kama nakupoteza, nakupenda sana, wewe ni chaguo langu na mimi ni chaguo lako, maisha yetu yawe na furaha na tupendane milele"
*************************************************************
"Furaha yako ni furaha yangu, kulia kwako ni kilio kwangu, sipendi kukuona ukiteseka, napenda kuona ukifurahi ahadi yangu ni kukupa furaha ya milele siku zote za maisha yangu"

Hakuna maoni:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom