Jumanne, Julai 14, 2015

"UKWELI UNALIPA UONGO UNALIPUA"

Uongo unapigwa vita katika ngazi zote za maisha yetu, udogoni ukubwani na uzeeni, uongo huzaa uongo na uongo hulipua magomvi, uhasama na mtafaruku. Ukweli hauchakai, hauozi , bali ulipa mema.TUZINGATIE. Ujumbe huu  na Balozi Christopher Liundi.

Hakuna maoni:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom