Habari dada Adela, naomba unitolee tangazo langu kwenye blogu yako kuwa natafuta mchumba. Mimi ni mwanamke, nipo nje ya Tanzania. mchumba ninayemtafuta awe na miaka kuanzaia 35 - 40. Pia awe anaishi nje ya nchi pia. Naomba sana aliye serious tu ndio aniandikie, ambaye hajawahi kuoa wala hana mtoto. Mwenye elimu ya chuo na anayethamini mwanamke na mwenye mapenzi ya dhati na mwenye nia ya kuanzisha familia hivi karibuni.  
 
Email adress yangu ni: