Alhamisi, Mei 01, 2014

HAPPY LABOR DAY

Rais Jakaya Kikwete akiwa  kashikana mikono na viongozi wa serikali na wa shirikisho la vyama vya wafanyakazi Tanzania (TUCTA) huku wakiimba wimbo wa wafanyakazi katika kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani MEI MOSI 1/5/2014  katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam

Wafanyakazi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) wakiwa katika maandamano kuingia Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Maandamano hayo yalifanyika leo Mei 1, 2014 kuanzia Viwanja vya Mnazi Mmoja na kumalizikia uwanja wa Uhuru
KAULI MBIU YA LEO "Utawala bora utumike kutatua kero za wafanyakazi’





Hakuna maoni:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom