Jumapili, Aprili 01, 2012

Watu mbalimbali wanaendelea kujipatia kitabu cha MALIPO NI HAPAHAPA

Kitabu kinapatikana  Jengo la Shopaz Plaza Lililopo Old Bagamoyo Road ukielekea Mikocheni katika A Novel Idea Bookshop ambapo ipo ghorofa ya kwanza tu ndani ya jengo hilo

Vilevile kinapatikana  SALAMANDA BOOKSHOP POSTA maeneo ya Samora, NA KARIAKOO UTAKIPATA CORODS UHURU BOOK SHOP ipo Roundabout ya mtaa wa Msimbazi na Lindi kwenye jengo kubwa la Vodacom

Kwa walio Mkoani Mwanza pia vinapatikana lakini pia kwa aliye mbali anaweza kutumiwa alipo na kwa walio karibu pia anapelekewa alipo akihitaji gharama ni sh 5,000 tu

A NOVEL IDEA  BOOKSHOP kuna vitabu vya aina mbalimbali

Asanteni sana kwa wadau walioniunga mkono hadi hivi sasa tuendelee kuwa pamoja jipatie nakala ya kitabu hiki kilichosheheni simulizi za kusisimua zinazolenga moja kwa moja maisha yetu ya kila siku. 

Kwa mawasiliano zaidi kuhusu upatikanaji wa kitabu cha MALIPO NI HAPAHAPA
kavisheadela@yahoo.com
 +255652343430 AU +255752817444

Maoni 3 :

Bila jina alisema ...

Nimekipenda sana kitabu chako Adela kinafundisha sana uko juu wangu endelea hivyohivyo

Bila jina alisema ...

Yap hiki kitabu nimekinunua good idea nasubiri na kingine wangu

Bila jina alisema ...

Asante kwa maelekezo Adela nitakitafuta kitabu nikisome kinaonekana kina simulizi nzuri hongera mdada

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

share bottom